Darasa la Biblia Mtandaoni

Mafundisho
Makini ya Biblia

Jifunze Neno la Mungu mtandaoni kwa muda wako, kupitia kozi mbalimbali za mafundisho ya Biblia yaliyokusudiwa kukujenga kiroho na kukupatia tumaini na mwanga mpya katika maisha yako.

Mwanafunzi wa BibliaDemy Mwanafunzi wa BibliaDemy Mwanafunzi wa BibliaDemy Mwanafunzi wa BibliaDemy
Jiunge na wanaojifunza Maandiko wakiwa popote, wakati wowote.
Kozi Zenye Mpangilio Bora
Moduli, Masomo, Majaribio, Maendeleo
Vyeti Kidigitali Zaidi
Maliza kozi yako, pkea cheti chako
Huduma za Kichungaji
Mwongozo halisi kwa maamuzi ya kiroho
Haufungwi Kimazingira
Jifunze kwa simu, tableti au kompyuta
0
Waliojiunga
0
Kozi Zetu
0
Jua Maendeleo Yako
0
Nchi Zilizofikiwa
Kwanini wanafunzi wanaipenda

Tuna kila unachohitaji ili
ukue katika Neno la Mungu

Masomo yaliyopangiliwa vyema

Endelea mbele hatua kwa hatua, kupitia kozi zetu za Biblia zilizoandaliwa Kitaalam katika Moduli, Masomo na vyanzo vya kutosha vitakavyokujenga kiroho.

Pima Maendeleo Yako Mwenyewe

Fanya tathmini baada ya kila somo na pokea matokeo yako mara moja.

Vyeti vinavyotambulika

Kamilisha kozi na upokee cheti cha PDF kinachoweza kupakuliwa ili kuthibitisha mafanikio yako katika kujifunza Biblia.

Dashibodi ya maendeleo

Ona masomo yaliyokamilika, maendeleo ya kozi, historia ya majaribio na vyeti vyako katika dashibodi moja ya mwanafunzi.

Huduma za kichungaji

Ukipenda waweza kushiriki nasi maamuzi yako ya kiroho na uunganishwe na mchungaji kwa maombi, mwongozo na hatua zinazoweza kuhitajika.

Mafundisho Mkononi Mwako

Jifunze popote kwa kutumia simu, tableti au kompyuta ukifurahi uzoefu uliosanifiwa vyema kwa kila skrini.

Watu halisi. Imani ya kweli.

Sisi ni Jamii ya Waaminio tunaojengwa juu ya Neno la Mungu

Kuanzia wanafunzi wapya, mpaka kwa waumini wenye uzoefu, jukwaa hili linamkaribisha kila mtu anayetaka kuugundua na kuuelewa ukweli wa Biblia.

Jifunze kwa ratiba yako
Usijali ngazi yako ya maarifa
Anza Bila Malipo
Vijana wakijifunza pamoja
Biblia iliyofunguliwa kwa kujifunza
Maombi na tafakari
Jamii ya waumini wakiwa nje

Unaweza kuanza kwa hatua hizi 4 rahisi

Hakuna ugumu wowote. Fungua tu Biblia yako na uanze.

1
Tengeneza akaunti

Jisajili bure ndani ya dakika chache na ujipatie dashibodi yako.

2
Chagua kozi

Tazama kozi za Biblia zilizopo na ujiunge kwa kubofya mara moja tu.

3
Anza Kozi

Kamilisha masomo yako kwa kasi uliyojipimia na pima uelewa wako kupitia majaribio.

4
Pata cheti

Maliza kozi na upakue cheti chako binafsi.

Maamuzi ya kiroho

Kuna zaidi ya kujifunza:
Haya ni Maisha Yanayobadilishwa

Neno la Mungu linapougusa moyo wako, safari haikomei katika alama za majaribio. Shiriki maamuzi yako ya kiroho na uunganishwe kwa faragha na mtu atakayekulea kiroho.

Kozi bora za Biblia Mawasiliano na Mchungaji Jamii ya Waaminio Maamuzi ya Kujitoa kwa Mungu
Anza sasa safari yako

Ushuhuda wa Wanafunzi Wetu

★★★★★

"Masomo haya yamenisaidia kuielewa Biblia kwa uwazi na kwa namna ya kuvutia. Hatimaye nimepata njia ya kujifunza ukweli kwa namna bora sana."

Wasifu wa mwanafunzi
James M.
Mwanafunzi, Kenya
★★★★★

"Jukwaa hili linaonekana kuwa la kisasa na linaendana na wakati. Niliweza kujifunza kwenye simu, nimefanya majaribio na nimepokea huduma ya kichungaji kwa wakati nilipohitaji."

Wasifu wa mwanafunzi
Amara T.
Mwanafunzi, Tanzania
★★★★★

"Cheti kilinipatia hamasa ya kumaliza. Nilikishiriki na familia yangu na nimewahimiza na nao wao kuanza safari hii."

Wasifu wa mwanafunzi
David K.
Mwanafunzi, Uganda

Tumaini halisi, Huanza na Ujuzi wa Neno

Jifunze Biblia, ukue kiroho na kuimarisha mahusiano yako na Mungu kwa kujifunza kile alichokusudia katika maisha yako kupitia Mafundisho ya Biblia yaliyo bora na yaliyo na ufasaha. .

Tunaamini katika Neno Tunakufikia Mkononi Mwako· na Tunapatikana Popote