Kanisa (Eklesiolojia)
Kozi hii inafundisha utambulisho wa kanisa, umoja wake, ibada zake, karama zake, na utume wake katika ulimwengu.
Matokeo ya kujifunza
- Kueleza maana na chimbuko la kanisa kwa mtazamo wa Biblia.
- Kutambua nafasi ya masalio na utume wa siku za mwisho.
- Kufafanua ubatizo, Meza ya Bwana, na karama za Roho katika maisha ya kanisa.
- Kuelewa nafasi ya karama ya unabii katika historia na utume wa Waadventista.
Vitabu na miongozo
- Biblia Takatifu
- Imani za Msingi
- Christian Service
- Church Manual
Yaliyomo katika kozi
Kanisa ni jumuiya ya waumini waliokubali kumkiri Yesu kama mwokozi na Bwana wao. Kwa kuunganika na watu wa Mungu katika Agano la Kale, tumeitwa kutoka ulimwenguni na tunaungana pamoja kwa ibada, ushirika, kufundisha Neno, kusherehekea Meza ya Bwana, katika utumishi kwa wanadamu na katika kutangaza injili duniani kote.
-
Dakika 50-60Somo la 01: Msingi wa KanisaUtangulizi • Maana ya Kanisa Kibiblia • Chimbuko la Kanisa
-
Dakika 30-40Somo la 02: Maendeleo ya KanisaMuundo na Majukumu ya Kanisa • Muundo • Washiriki wa Kanisa
-
Dakika 50-60Somo la 03: Matumizi ya KanisaMajukumu Makuu ya Kanisa • Uongozi wa Kanisa • Maofisa wa Kanisa katika Agano Jipya
-
Dakika 10-15Somo la 04: Muhtasari wa Kanisa
Kanisa la ulimwenguni linajumuisha wale wote ambao kwa kweli wanaoamini katika Kristo lakini katika siku za mwisho wakati wa kuenea kwa uasi, watu wa masalio wameitwa watoke wazitunze amri za Mungu na imani ya Yesu. Hawa masalio wanatangaza saa ya kuja kwa hukumu, wakihubiri wokovu katika Kristo, na kupiga mbiu ya kuka
-
Dakika 50-60Somo la 05: Msingi wa Masalio na Utume WakeUtangulizi • Uasi Mkuu • Kuinuka kwa Mtu wa Kuasi
-
Dakika 20-30Somo la 06: Maendeleo ya Masalio na Utume WakeMasalio • Masalio ni akina nani? • Tabia za masalio
-
Dakika 50-60Somo la 07: Matumizi ya Masalio na Utume WakeUjumbe waMalaika wa Kwanza • Ujumbe wa Malaika wa Pili • Ujumbe wa Malaika wa Tatu
-
Dakika 10-15Somo la 08: Muhtasari wa Masalio na Utume Wake
Kanisa ni mwili moja wenye viungo vingi, vilivyoitwa kutoka katika kila taifa, kabila, lugha na jamaa. Katika Kristo tu uumbaji mpya; tofauti za rangi, utamaduni, elimu na utaifa, na tofauti kati ya tabaka ya juu na ya chini, tajiri na maskini, mwanamume na mwanamke miongoni mwetu visitugawanye. Sisi sote ni sawa katik
-
Dakika 40-50Somo la 09: Msingi wa Umoja Katika Mwili wa KristoUtangulizi • Umoja Kimaandiko na Kanisa • Umoja wa Roho
-
Dakika 30-40Somo la 10: Maendeleo ya Umoja Katika Mwili wa KristoUmoja unao umuhimu gani? • Chanzo cha umoja • Roho Mtakatifu mwunganishi
-
Dakika 20-30Somo la 11: Matumizi ya Umoja Katika Mwili wa KristoAmri Mpya ya Yesu • Umoja katika msalaba • Hatua za kufikia umoja.
-
Dakika 10-15Somo la 12: Muhtasari wa Umoja Katika Mwili wa Kristo
Kwa ubatizo tunakiri imani yetu katika kifo na ufufuo wa Yesu Kristo, na kushuhudia kufia kwetu dhambi na kusudi letu la kuenenda katika upya wa uzima. Hivyo tunamtambua Kristo kama Bwana na Mwokozi, tunakuwa watu wake, na tupokelewa kama washiriki na kanisa lake. Ubatizo ni mfano wa muungano wetu na Kristo msamaha wa
-
Dakika 50-60Somo la 13: Msingi wa UbatizoUtangulizi • Ubatizo na Wokovu • Ubatizo Mmoja
-
Dakika 50-60Somo la 14: Maendeleo ya UbatizoIshara ya Kifo cha Yesu na Kufufuka • Ishara ya kuwa Mfu kwa dhambi na Kuwa Hai katika Kristo • 1. Imani
-
Dakika 10-15Somo la 15: Muhtasari wa Ubatizo
Meza ya Bwana ni kushiriki katika mfano wa mwili na damu ya Yesu kama udhihirisho wa imani katika Yeye, Bwana na Mwokozi wetu. Katika uzoefu huu wa ushirika, Kristo anakuwepo kukutana na kuwaimarisha watu wake. Tunapotwaa (mkate na divai) kwa furaha tunatangaza mauti ya Bwana hata arudipo tena. Maandalizi ya Meza ya Bw
-
Dakika 40-50Somo la 16: Msingi wa Meza ya BwanaUtangulizi • Agizo la Kuoshana Miguu • 1. Ukumbusho wa kujishusha kwa Kristo
-
Dakika 15-20Somo la 17: Maendeleo ya Meza ya Bwana4. Ushirikiano pamoja na Kristo na waumini. • Kusherehekea Meza ya Bwana • Maana ya Chakula cha Bwana
-
Dakika 50-60Somo la 18: Matumizi ya Meza ya Bwana1. Kukumbuka kuokolewa kutoka dhambini • 2. Kushiriki mwili wa Kristo. • 3. Kutarajia ujio wa Bwana mara ya pili.
-
Dakika 10-15Somo la 19: Muhtasari wa Meza ya Bwana
Mungu huwakirimia washiriki wote wa kanisa lake katika kila kizazi karama za kiroho ambazo kila mshiriki atatumia katika huduma ya upendo kwa ajili ya ustawi wa wote kanisani na wa wanadamu. Zikitolewa kwa nguvu za Roho Mtakatifu, ambaye humgawia kila mshiriki kama apendavyo Yeye, karama hizi hutoa uwezo wote na huduma
-
Dakika 30-40Somo la 20: Msingi wa Karama za Roho na HudumaUtangulizi • Karama za Roho Mtakatifussss • Makusudi ya Karama za Kiroho
-
Dakika 40-50Somo la 21: Maendeleo ya Karama za Roho na HudumaUmoja ndani ya Kanisa
-
Dakika 10-15Somo la 22: Muhtasari wa Karama za Roho na Huduma
Mojawapo ya karama za Roho Mtakatifu ni unabii. Karama hii ni alama inayolitambulisha masalio na ilidhihirika katika huduma ya Ellen G. White. Kama mjumbe wa Bwana, maandishi yake yanaendelea kuwa chanzo madhubuti cha ukweli yanayotoa kwa kanisa faraja, uongozi, mafundisho, na maonyo. Pia yanaweka wazi kwamba Biblia nd
-
Dakika 40-50Somo la 23: Msingi wa Karama ya UnabiiUtangulizi • Karama ya Unabii nyakati za Biblia • Majukumu ya Manabii katika Agano Jipya
-
Dakika 30-40Somo la 24: Maendeleo ya Karama ya UnabiiKarama ya Unabii karibu na Kuja kwa Yesu mara ya Pili • Karama ya Unabii katika Kanisa la Masalio • Kupima Karama ya Unabii
-
Dakika 50-60Somo la 25: Matumizi ya Karama ya UnabiiRoho ya Unabii katika Kanisa la Waadventista Wasabato • Roho ya Unabii na Biblia • Maisha na Huduma ya Ellen White
-
Dakika 10-15Somo la 26: Muhtasari wa Karama ya Unabii
Kinachohitajika Ili Kujiunga
Kozi hii inafaa kwa wote. Hata hivyo, kozi hizi zinaweza kukusaidia kuelewa vizuri zaidi: