Wokovu (Soteriolojia)
Kozi hii inaweka wazi pambano kuu, kazi ya Kristo, uzoefu wa wokovu, na kukua kwa mwamini katika Kristo.
Matokeo ya kujifunza
- Kueleza pambano kuu kati ya Kristo na Shetani.
- Kufafanua maisha, kifo, na ufufuo wa Kristo kama msingi wa wokovu.
- Kuelewa hatua za uzoefu wa wokovu katika maisha ya mwamini.
- Kukuza maisha ya ushindi na ukuaji wa kiroho ndani ya Kristo.
Vitabu na miongozo
- Biblia Takatifu
- Imani za Msingi
- Steps to Christ
- The Desire of Ages
Yaliyomo katika kozi
Jamii yote ya wanadamu sasa imo katika pambano kuu baina ya Kristo na Shetani kuhusu tabia ya Mungu, Sheria yake na Utawala wake juu ya ulimwengu wote. Mapigano haya yalianzia mbinguni wakati kiumbe aliyeumbwa na kutunukiwa uhuru wa kuchagua , kwa kujiinua akawa Shetani, mpinzani wa Mungu na akaongoza sehemu ya malaika
-
Dakika 40-50Somo la 01: Msingi wa Pambano KuuUtangulizi • Kuhusishwa kwa Ulimwengu Wote • Asili ya pambano
-
Dakika 20-30Somo la 02: Maendeleo ya Pambano KuuKinachoshindaniwa • Kristo na suala la Utii • Kalvari
-
Dakika 20-30Somo la 03: Matumizi ya Pambano KuuSwali la Msingi • Msingi wa mafundisho ya Biblia • Umuhimu wa Fundisho la Pambano Kuu
-
Dakika 10-15Somo la 04: Muhtasari wa Pambano Kuu
Katika maisha ya Kristo ya utii kamili kwa mapenzi ya Mungu, mateso yake, kifo chake na ufufuo, Mungu aliandaa tayari njia pekee ya upatanisho kwa dhambi ya mwanadamu, ili kwamba wale ambao kwa imani watapokea upatanisho huu wapate uzima wa milele, na ulimwengu wote uweze kuelewa vema upendo mtakatifu usio na kikomo wa
-
Dakika 40-50Somo la 05: Msingi wa Maisha, Kifo na Ufufuo wa KristoUtangulizi • Neema ya Mungu iokoayo • Kusamehe au kuadhibu?
-
Dakika 40-50Somo la 06: Maendeleo ya Maisha, Kifo na Ufufuo wa KristoHuduma ya Yesu ya Upatanisho • Yesu Fidia • Yesu mwakilishi wa Wanadamu
-
Dakika 50-60Somo la 07: Matumizi ya Maisha, Kifo na Ufufuo wa KristoKwa nini Yesu alikuja mara ya Kwanza? • Kazi gani Yesu alikuja kuifanya? • Matokeo ya Huduma ya Yesu ya Wokovu
-
Dakika 10-15Somo la 08: Muhtasari wa Maisha, Kifo na Ufufuo wa Kristo
Kwa upendo usio na kifani na rehema, Mungu alimfanya Kristo asiyejua dhambi kuwa dhambi kwa ajili yetu, kusudi katika Yeye tuweze kufanywa haki ya Mungu. Tukiongozwa na Roho Mtakatifu, tunatambua hitaji letu, na kukiri hali yetu ya dhambi, tunatubia uasi wetu, na kuonyesha imani katika Yesu kama Bwana na Kristo, kuwa m
-
Dakika 50-60Somo la 09: Msingi wa Uzoefu wa WokovuUtangulizi • Uzoefu wa Wokovu na Wakati Uliopita • 1. Kutubu (toba)
-
Dakika 30-40Somo la 10: Maendeleo ya Uzoefu wa WokovuUzoefu wa Wokovu na Wakati wa Sasa • Wito wa kuishi maisha matakatifu. • Mabadiliko ya Ndani
-
Dakika 30-40Somo la 11: Matumizi ya Uzoefu wa WokovuUkamilifu wa Biblia • Uzoefu wa Wokovu na Wakati Ujao • Kuvikwa Utukufu na Kutakaswa
-
Dakika 10-15Somo la 12: Muhtasari wa Uzoefu wa Wokovu
Kwa kifo chake msalabani Yesu alizishinda nguvu za uovu. Yeye aliyewatiisha pepo wachafu wakati wa huduma yake hapa duniani amezivunja nguvu zao na kuthibitisha mwisho wao ni uangamivu usioepukika. Ushindi wa Yesu utupatia ushindi dhidi ya nguvu za uovu ambazo bado zinatafuta kututawala, tunapo tembea naye kwa amani, f
-
Dakika 40-50Somo la 13: Msingi wa Kukua Katika KristoUtangulizi • Maisha Huanza na Kifo • Kifo cha Yesu
-
Dakika 20-30Somo la 14: Maendeleo ya Kukua Katika Kristo1. Maisha ya Kiroho • 2. Maisha ya upendo na umoja • 3. Maisha ya Kujifunza Biblia
-
Dakika 20-30Somo la 15: Matumizi ya Kukua Katika Kristo4. Maisha ya Maombi • 5. Maisha yenye Matunda • 6. Maisha ya Mapambano ya Kiroho
-
Dakika 10-15Somo la 16: Muhtasari wa Kukua Katika Kristo
Kinachohitajika Ili Kujiunga
Kozi hii inafaa kwa wote. Hata hivyo, kozi hizi zinaweza kukusaidia kuelewa vizuri zaidi: