Mafundisho Kuhusu Maisha ya Imani
Kozi hii inaleta mafundisho ya maisha ya kila siku ya mwamini: sheria, Sabato, uwakili, mwenendo wa Kikristo, na familia.
Matokeo ya kujifunza
- Kuona uhusiano wa sheria ya Mungu na maisha ya mwamini.
- Kufafanua umuhimu wa Sabato katika ibada na utambulisho wa muumini.
- Kukuza uwakili mwaminifu wa mwili, muda, vipaji, na mali.
- Kujenga mwenendo wa Kikristo ulio safi katika afya, maadili, ndoa, na familia.
Vitabu na miongozo
- Biblia Takatifu
- Imani za Msingi
- The Ministry of Healing
- Counsels on Stewardship
Yaliyomo katika kozi
Kanuni kuu za sheria ya Mungu zimeunganishwa katika Amri Kuimi na zilifuatishwa katika maisha ya Kristo. Nazo zinadhihirisha upendo na mapenzi ya Mungu, na makusudi yake kuhusu mwenendo wa binadamu na mahusiano nazo ni sharti kwa watu wote katika kila kizazi. Amri hizi ni msingi wa agano la Mungu na watu na kanuni kati
-
Dakika 50-60Somo la 01: Msingi wa Sheria ya MunguUtangulizi • Asili ya Sheria ya Mungu • Sheria ya kiroho
-
Dakika 20-30Somo la 02: Ufafanuzi wa Sheria ya MunguMakusudi ya Sheria • 1. Hufunua mapenzi ya Mungu kwa Wanadamu • 3. Ni kipimo cha Hukumu
-
Dakika 15-20Somo la 03: Maendeleo ya Sheria ya Mungu7. Hukinga maovu na huleta Baraka • Kudumu kwa Sheria • Sheria kabla ya Sinai
-
Dakika 50-60Somo la 04: Matumizi ya Sheria ya MunguSheria kwenye Mlima Sinai • Sheria ya Mungu kabla ya Kurudi kwa Yesu • Sheria na Injili
-
Dakika 10-15Somo la 05: Muhtasari wa Sheria ya Mungu
Moduli hii inafundisha fundisho la Sabato kwa kutumia faili ya chanzo 20Sabato.html.
-
Dakika 40-50Somo la 06: Msingi wa SabatoUtangulizi • Sabato Edeni • Sinai
-
Dakika 20-30Somo la 07: Ufafanuzi wa SabatoUmuhimu wa Sabato kiroho • Mabadiliko ya Sabato • Je ni Mungu?
-
Dakika 30-40Somo la 08: Maendeleo ya SabatoKama siyo Mungu, Yesu au wanafunzi, ni nani basi? • Matamko ya Kanisa Katoliki yanakubali kwamba ndilo lililobadili sabato kutoka Jumamosi hadi Jumapili. • Mabadiliko yalitabiriwa.
-
Dakika 20-30Somo la 09: Matumizi ya SabatoMatengenezo ya Sabato • 1. Je, tuheshimu Jumapili kwa kuwa Yesu alifufuka siku hiyo? • 2. Je, si kalenda imebadilishwa?
-
Dakika 30-40Somo la 10: Muunganiko wa Sabato3. Ni vigumu kutambua ni siku ipi ndiyo ya saba katika wiki. • 7. Amri 10 zilibatilishwa ikiwemo Sabato • 8. Sabato ilibatilishwa
-
Dakika 10-15Somo la 11: Muhtasari wa Sabato
Sisi tu wmawakili wa Mungu, tuliokabidhiwa na Yeye wakati, fursa, uwezo, na mali na mibaraka ya dunia na rasilmali zake. Tunawajibika kwake kwa matumizi yake mazuri. Tunakiri umilikaji wa Mungu kwa kutoa utumishi mzuri kwake na kwa wanadamu wenzetu, kwa kumrudishia zaka na kutoa sadaka kwa ajili ya kutangaza injili Yak
-
Dakika 30-40Somo la 12: Msingi wa UwakiliUtangulizi • Uwakili ni nini? • Mungu ni mmiliki
-
Dakika 40-50Somo la 13: Maendeleo ya UwakiliUwakili wa miili • Uwakili wa Uwezo (talanta) • Uwakili wa vile tunavyoweza kuvimiliki
-
Dakika 10-15Somo la 14: Muhtasari wa Uwakili
Tumeitwa tuwe watu watawa wanaofikiri na kujisikia, na kutenda kwa kufuatana na sheria za mbinguni. Ili Roho aumbe upya tabia ya Bwana wetu ndani yetu tunajihusisha tu katika mambo ambayo yataleta katika maisha yetu utukufu, afya na furaha inayofananana na ya Kristo. Maana yake ni kwamba furaha yetu na tafrija zetu zin
-
Dakika 50-60Somo la 15: Msingi wa Mwenendo wa KikristoUtangulizi • Mwenendo na Wokovu • Mahekalu ya Roho Mtakatifu
-
Dakika 50-60Somo la 16: Maendeleo ya Mwenendo wa KikristoE) Baraka ya kuishi kwa kiasi, bila madawa wala vichocheo • F) Baraka ya Pumziko • G) Baraka ya Chakula chenye Lishe
-
Dakika 30-40Somo la 17: Matumizi ya Mwenendo wa KikristoKanuni za Viwango vya Kikristo • Kuishi na Nia ya Kristo • Kuishi Tukimsifu na Kumtukuza Mungu
-
Dakika 10-15Somo la 18: Muhtasari wa Mwenendo wa Kikristo
Ndoa ilianzishwa na Mungu katika Edeni na ikathibitishwa na Yesu kuwa muungano wa maisha yote kati mwanaume na mwanamke katika wenzi wa upendo. Kwa Mkristo kifungo cha ndoa ni kwa Mungu na pia kwa mwenzi, na wenzi wanaokishiriki sharti wawe wenye imani moja tu. Upendo wa hiari, heshima staha na wajibu ndiso nyuzi za uh
-
Dakika 50-60Somo la 19: Msingi wa Ndoa na FamiliaUtangulizi • Tangu Mwanzo • Mwanamume na Mwanamke kwa Mfano wa Mungu.
-
Dakika 50-60Somo la 20: Ufafanuzi wa Ndoa na Familiab) Kusimama pamoja. • c) Tendo la ndo. • 5. Upendo ki Biblia.
-
Dakika 40-50Somo la 21: Maendeleo ya Ndoa na FamiliaUasherati na uzinzi. • Mawazo yasiyo safi • Uzinzi wa mzazi kwa mtoto wake.
-
Dakika 40-50Somo la 22: Matumizi ya Ndoa na FamiliaFamilia • 1. Baba. • 2. Mama.
-
Dakika 50-60Somo la 23: Muunganiko wa Ndoa na Familia3. Ahadi. • 4. Kudumu kufundisha. • 5. Kujifunza utiii.
-
Dakika 10-15Somo la 24: Muhtasari wa Ndoa na Familia
Kinachohitajika Ili Kujiunga
Kozi hii inafaa kwa wote. Hata hivyo, kozi hizi zinaweza kukusaidia kuelewa vizuri zaidi: