Eskatolojia
Kozi hii inaleta tumaini la mwisho: huduma ya Kristo mbinguni, kurudi kwake, mauti na ufufuo, milenia, na dunia mpya.
Matokeo ya kujifunza
- Kueleza huduma ya Kristo katika patakatifu pa mbinguni.
- Kufafanua kurudi kwa Yesu mara ya pili kwa msingi wa Biblia.
- Kuelewa hali ya wafu, ufufuo, na milenia.
- Kukuza tumaini la dunia mpya na ushindi wa mwisho wa Mungu.
Vitabu na miongozo
- Biblia Takatifu
- Imani za Msingi
- The Great Controversy
Yaliyomo katika kozi
Hukumu ya Upelelezi hufunua kwa viumbe wa mbinguni ni nani miongoni mwa wafu wamelala mauti katika Kristo na hivyo, katika Yeye wanahesabiwa kustahili kuwa na sehemu katika ufufuo wa kwanza. Pia inadhihirisha wazi nani miongoni mwa walio hai wanaishi katika Kristo, wakitunza amri za Mungu na kuwa na imani ya Yesu na ka
-
Dakika 40-50Somo la 01: Msingi wa Huduma ya Kristo katika Patakatifu pa MbinguniUtangulizi • Huduma ya Hekalu la Mbinguni • Kafara mbadala ya upatanisho
-
Dakika 50-60Somo la 02: Maendeleo ya Huduma ya Kristo katika Patakatifu pa MbinguniWakati wa Hukumu • Kutukuzwa kwa tabia ya Mungu • Hukumu na Wokovu
-
Dakika 10-15Somo la 03: Muhtasari wa Huduma ya Kristo katika Patakatifu pa Mbinguni
Kuja kwa kristo mara ya pili ndilo tumaini lenye baraka la kanisa, hitimisho kuu la injili. Kuja kwa mwokozi kutakuwa halisi, binafsi, kutaonekana kwa dunia mzima. Atakaporudi wenye haki waliokufa watafufuliwa na pamoja na wenye haki walio hai watavikwa utukufu na kuchukuliwa kwenda mbinguni, lakini waovu watakufa. Kut
-
Dakika 50-60Somo la 04: Msingi wa Kuja kwa Yesu Mara ya PiliUtangulizi • Maelezo ya kuja kwa Yesu • Uhakika wa Kuja kwake
-
Dakika 20-30Somo la 05: Maendeleo ya Kuja kwa Yesu Mara ya PiliKuja kwa Yesu na matokeo yake kwa wanadamu • Dalili za Kuja kwa Yesu mara ya Pili • Dalili juu ya ulimwengu wa kidini
-
Dakika 10-15Somo la 06: Muhtasari wa Kuja kwa Yesu Mara ya Pili
Mshahara wa dhambi ni mauti. Lakini Mungu, ambaye peke yake ana kutokufa, atawapa waliokombolewa wake uzima wa milele. Mpaka siku hiyo mauti ni hali ya kutojifahamu kwa watu wote. Wakati Kristo, ambaye ni uzima wetu, atakapoonekana, wenye hai waliofufuliwa na wenye haki walio hai watabadilishwa na kupewa miili ya utuku
-
Dakika 50-60Somo la 07: Msingi wa Mauti na UfufuoUtangulizi • Hali ya Kutokufa na Mauti (Kifo) • Kutokufa.
-
Dakika 30-40Somo la 08: Ufafanuzi wa Mauti na UfufuoKupokea kutokufa • Asili ya Mauti (Kifo) • Mauti (Kifo) ni usingizi
-
Dakika 50-60Somo la 09: Maendeleo ya Mauti na UfufuoMtu kurudi Mavumbini • Wafu wako wapi? • Roho kumrudia Mungu
-
Dakika 40-50Somo la 10: Matumizi ya Mauti na UfufuoMauti ya Kwanza na Mauti ya Pili • Ufufuo • Fufuo Mbili
-
Dakika 50-60Somo la 11: Muunganiko wa Mauti na Ufufuo2. Ufufuo wa hukumu • Mafungu ya Biblia yanayodhaniwa Kuelezea Wafu wako Hai • Maelezo ya Mafungu
-
Dakika 10-15Somo la 12: Muhtasari wa Mauti na Ufufuo
Milenia ni miaka elfu moja ya utawala wa kristo pamoja na watakatifu wake mbinguni kati ya ufufuo wa kwanza na pili. Wakati huo waovu waliokufa watahukumiwa, dunia itakuwa ukiwa na utupu, bila wanadamu wakazi walio hai, lakini ikikaliwa na shetani na malaika zake. Mwishowe kristo na watakatifu wake na Mji Mtakatifu wat
-
Dakika 40-50Somo la 13: Msingi wa Milenia na Mwisho wa DhambiUtangulizi • Matukio Kabla ya Miaka 1,000 • Kristo mbinguni pamoja na Watakatifu
-
Dakika 30-40Somo la 14: Maendeleo ya Milenia na Mwisho wa DhambiMatukio Baada ya Miaka 1,000 • Shetani na waovu wataangamizwa • Adhabu Ya Waovu
-
Dakika 50-60Somo la 15: Matumizi ya Milenia na Mwisho wa DhambiHukumu ya waovu itatekelezwa wakati ujao, siyo sasa • Kinachofanya hukumu / adhabu ya waovu • Vielelezo hufafanua mwisho wa Waovu
-
Dakika 10-15Somo la 16: Muhtasari wa Milenia na Mwisho wa Dhambi
Katika dunia mpya, ambamo haki hukaa, Mungu ataweka tayari makao ya milele waliokombolewa na mazingira makamilifu kwa maisha ya milele, upendo, furaha na kujifunza mbele zake. Kwa hapa Mungu mwenyewe atakaa pamoja na watu wake, na taabu na mauti vitakuwa vimepita. Pambano kuu litakuwa limemalizika, na dhambi haitakuwep
-
Dakika 40-50Somo la 17: Msingi wa Dunia MpyaUtangulizi • Nchi mpya ni kitu halisi • Kiunganishi
-
Dakika 30-40Somo la 18: Maendeleo ya Dunia MpyaMaisha katika Nchi Mpya • Maisha ya Kijamii kwenye Nchi mpya • Maisha ya Kiakili kwenye Nchi Mpya
-
Dakika 10-15Somo la 19: Muhtasari wa Dunia Mpya
Kinachohitajika Ili Kujiunga
Kozi hii inafaa kwa wote. Hata hivyo, kozi hizi zinaweza kukusaidia kuelewa vizuri zaidi: